• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

DC namtumbo awataka askari wa akiba kuilinda amani.

Tarehe ya Kuweka: January 19th, 2021

.

.

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo  mkoani  Ruvuma  Sophia  Mfaume  Kizigo  amewataka  wahitimu  wa mafunzo ya asklari wa akiba  katika kijiji  cha Limamu wilayani humo  kuilinda amani  ya nchi  yetu  kwa kutoa taarifa dhidi ya wahalifu  au kuwakamata  wahalifu  wenye  nia mbaya  na amani ya nchi yetu.

Kizigo  aliwataka  kuwa  askari  wema wenye kufuata sheria  za kazi zao katika kuisaidia serikali  huku akiwataka pia wasijiingize  katika  kupokea rushwa  katika kazi zao kwa kuwa rushwa  ni adui Wa haki  katika jamii.

“Tunawategemea  katika  kuwakamata  waweka  mimba  wanafunzi  , hivyo  mkijihusisha  na upokeaji rushwa  mtasababisha kutowakamata wahalifu  na nafasi  ya kazi yako  haitakuwa na manufaa  kwa jamii  na hata kwa serikali “ alisema Kizigo.

Ofisa  mtendaji wa  kijiji  cha  Limamu  bi. Agnes  Nchimbi  alisema kuwa  vijana  waliojiandikisha  katika kujifunza Mgambo  walikuwa  140 lakini kutokana na sababu zisizozuilika za kiafya  vijana wengine waliacha  na kubakiwa na vijana 91 ndio waliohitimu mafunzo hayo katika kijiji chake.

Pancras  Newa  mhitimu  wa mafunzo hayo  alisema  walianza mafunzo  mwezi  mei  2020 na kuhitimu  mwezi  januari  2021  hivyo  aliiomba  serikali kuendelea  kutoa mafunzo  kwa vijana  wengine  kwa kuwa  mafunzo hayo  yanawafanya vijana wawe  wakakamaVu  , kuzijua mbinu mbalimbali za kivita pamoja  na kujua kutumia  silaha  alisema Newa.

Naye mwenyekiti wa  kijiji cha Limamu  bwana  Magnus  Ndunguru  alisema walihamasisha  vijana kujiunga na Mgambo  katika kijiji hicho  kupitia  mikutano ya  hadhara ya  kijiji   na kuwapata  vijana 140 lakini kulingana na matatizo ya kiafya  walibahatika kuhitimu ni hao 91.

Sherehe  ya kuhitimu  mafunzo ya  jeshi la akiba  katika kijiji cha limamu  yalifanyika katika  uwanja  wa shule ya msingi  Tumaini   ambapo  mkuu wa wilaya ya Namtumbo  alipokea viapo vya askari  wa akiba hao  pamoja na kukagua gwaride lililoandaliwa na askari hao wa akib

Matangazo

  • Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021 kutoka katika shule mbalimbali za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma December 18, 2020
  • Kimolo Secondary School Joining instruction December 18, 2020
  • Korido Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Lisimonji Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Ona zote

Habari Mpya

  • Naibu waziri aridhishwa ujenzi wa bweni ,bwalo namtumbo

    February 24, 2021
  • Baraza la wafanyakazi namtumbo lapitisha mapendekezo ya bajeti 2021/2022

    February 22, 2021
  • Familia 6 zapata pigo

    February 11, 2021
  • Mkurugenzi atoa maagizo mazito kwa watendaji

    February 10, 2021
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2018Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.