• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

mbunge namtumbo aupongeza uongozi sonamcu

Tarehe ya Kuweka: January 18th, 2021



Mbunge  wa Namtumbo  Vitta  Kawawa  aliupongeza  uongozi  wa SONAMCU  uliomaliza muda wake  kwa kuanzisha  kiwanda  cha vifungashio  wilayani Namtumbo  ili kuondoa adha vya  kuagiza  vifungashio  kutoka nje ya wilaya.

Kawawa  aliyasema  hayo  kwenye  mkutano mkuu  wa wanachama  uliofanyika   katika ukumbi  wa  SONAMCU  katika  manispaaa  ya Songea  ambapo  pamoja na mambo  mengine kiwanda hicho alisema kitawawezesha wana Namtumbo  kupata ajira .

“Nilipita  mwenyewe kuangalia ujenzi wa kiwanda hicho  na nikaulizia kama ujenzi huo  unafanywa kwa hela za mkopo,  nikaambiwa  kuwa wanajenga  kiwanda hicho  kwa  kutumia mapato  ya ndani ya chama hicho  na sio mkopo  , nimefurahishwa  sana na uongozi huo” alisema kawawa.

Pamoja  na hayo  Kawawa  aliwataka wanachama Kutumia  mkutano huo   kuchagua viongozi wenye  moyo wa kuendeleza  SONAMCU ili kuwaletea wananchi  maendeleo ya kweli  na kuacha ubabaishaji ,wizi ,ubadirifu wa fedha za wanaushirika  na wawachague viongozi waadilifu .wachapa kazi na waaminifu.

Naye mwenyekiti  aliyemaliza  muda wake  bwana  Salumu  Brashi katika mkutano huo  aliwaomba  wanachama kuwa waangalifu katika kuchagua , wawe makini  katika kuchagua viongozi  kwa kuwa uongozi  ni dhamana ya kutumikia wanachama na sio faida ya mtu na familia yake.

Mwenyekiti  mpya  wa SONAMCU  Bwana  ALLY  Haji  Chemka  kutoka chama cha msingi Mgombasi wilayani Namtumbo alikuwa mgombea pekee katika kiti cha uenyekiti  katika mkutano huo  alidai atasimamia  vyema  chama kikuu cha ushirika  SONAMCU  Ili  kifikie malengo  yaliyojiwekea  .

Wengine  waliochaguliwa  katika mkutano huo ni makamu mwenyekiti bwana  Bwana Grasiani Nyoni ,Haji Hashimu Haule,Hamisi Isime,Abu Nihamba,Mohamedi Kimilamata  na  Hamisi  Luoga  hao katika  nafasi ya ujumbe wa  bodi.

MWISHO.

 

Matangazo

  • Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021 kutoka katika shule mbalimbali za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma December 18, 2020
  • Kimolo Secondary School Joining instruction December 18, 2020
  • Korido Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Lisimonji Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Ona zote

Habari Mpya

  • Naibu waziri aridhishwa ujenzi wa bweni ,bwalo namtumbo

    February 24, 2021
  • Baraza la wafanyakazi namtumbo lapitisha mapendekezo ya bajeti 2021/2022

    February 22, 2021
  • Familia 6 zapata pigo

    February 11, 2021
  • Mkurugenzi atoa maagizo mazito kwa watendaji

    February 10, 2021
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2018Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.