• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

MKUU WA MKOA WA RUVUMA AIPONGEZA NAMTUMBO KWA HATI SAFI MIAKA MINNE MFULULIZO

Tarehe ya Kuweka: June 22nd, 2020

Mkuu wa mkoa  wa Ruvuma Christina Solomon Mndeme ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo kwa kuendelea kupata hati safi kwa miaka  minne mfululizo.

Mndeme aliyasema hayo kwenye kikao cha baraza la madiwani hivi karibuni kujadili taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali juu ya hoja na mapendekezo ya hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019.

“Nawapongeza sana Namtumbo hasa kwa waheshimiwa madiwani kwa kuisimamia vyema Halmashauri, viongozi wa wilaya na wataalamu kwa kuonesha ushirikiano na viongozi wa wilaya na kuendelea kupata hati safi kwa miaka minne mfululizo hongereni sana “alisema mkuu wa mkoa huyo.

Pamoja na hayo alipongeza Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo kwa kuweza kuchangia kwa asilimia 99.7 mfuko wa wanawake ,vijana na watu wenye ulemavu ambapo kiasi cha shilingi milioni 78 kilichotengwa katika bajeti hiyo kilitumika.

Hata hivyo alimtaka mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Evance Nachimbinya kuwalipa waheshimiwa madiwani stahiki zao kiasi cha shilingi  21,159,000wanazostahili kulipwa kabla ya muda wao kuisha.

Naye mweka hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Pendo Nyomeye alisema Halmashauri hiyo ilikadiria kukusanya shilingi 2,847,746,000 kwa mwaka 2018/2019 na kukusanya kiasi cha shilingi 1,949,514,276 .sawa na asilimia 68.45.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Daniel Nyambo pamoja na kumshukuru mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa kuipongeza Namtumbo lakini alimshukuru kwa kuitembelea Namtumbo na kutoa maagizo ya kiutendaji na kudai kuwa maagizo hayo ndiyo yanayosababisha utendaji kazi mzuri kwa halmashauri .

Halmashauri ya Namtumbo kwa mwaka wa fedha 2015/2016, 2016/2017,  2017/2018 na  2018/2019  ilipata hati safi.

MWISHO.

Matangazo

  • Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021 kutoka katika shule mbalimbali za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma December 18, 2020
  • Kimolo Secondary School Joining instruction December 18, 2020
  • Korido Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Lisimonji Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Ona zote

Habari Mpya

  • Pandu awataka watumishi wa serikali kuongeza uwajibikaji kazini

    January 20, 2021
  • MJUMITA watoa mafunzo ya utawala bora namtumbo

    January 19, 2021
  • DC namtumbo awataka askari wa akiba kuilinda amani.

    January 19, 2021
  • mbunge namtumbo aupongeza uongozi sonamcu

    January 18, 2021
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2018Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.