• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

DC NAMTUMBO KUWAPIMA VIJANA WALIOTEULIWA KAZI YA USAJIRI ANUANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI

Tarehe ya Kuweka: April 2nd, 2022


Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt Julius Kenneth Ningu amesema atafuatilia utendaji kazi kwa vijana walioteuliwa kufanya kazi ya usajiri wa anuani za makazi na postikodi

Dkt Ningu aliyasema hayo katika ukumbi wa shule ya sekondari Nasuli wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa vijana waliopata ajira ya muda katika zoezi la usajiri wa anuani za makazi na postikodi na uelezaji wa majukumu ya watendaji wa kata,vijiji, majukumu ya wenyeviti wa vijiji na wenyeviti wa vitongoji au mitaa katika zoezi hilo.

 Aidha Dkt Ningu alidai  uteuzi wa  vijana hao umefanywa kwa umakini mkubwa hivyo ameahidi kuwafuatilia ili kuona weledi na uchapakazi walionao katika zoezi hilo ili kuona namna wanavoweza kutumia nafasi waliyopata kuitendea haki kikamilifu.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Chiriku Hamisi Chilumba amewaagiza watendaji wa kata,vijiji na vitongoji wa vijiji kuhakikisha wanawajibika katika nafasi zao ili kufanikisha zoezi la usajiri wa anuani za makazi na postikodi.

Chilumba pia aliwataka vijana walioteuliwa katika zoezi hilo kufanya kazi kwa bidii na kujituma ili kuwajengea viongozi wa wilaya imani ya  kuendelea kuwaamini katika  kazi zingine kama watafanya kazi hiyo kwa weledi na kwa kujituma .

Mratibu wa anuani za makazi na postikodi wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Saimon Sambalu alisema zoezi la usajiri wa anuani za makazi na postikodi litafanyika kwa weledi na umakini na kuhakikisha zoezi hilo litakwisha kabla ya wakati uliowekwa na serikali alisema Sambalu.

Maufunzo hayo katika wilaya ya Namtumbo yalifanyika katika kanda tatu ,kanda ya Mkongo.kanda ya Hanga na kanda ya Namtumbo kwa lengo la kupunguza msongamano wa kuwakusanya watu wengi katika eneo moja.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA USAJILI WA ANUANI YA MAKAZI NA POSTIKODI WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO KUANZIA TAREHE 01 - 02/04/2022 March 30, 2022
  • MAJINA YA WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUFANYA USAILI WA AJIRA ZA MUDA ZA KUSAJILI ANUANI ZA MAKAZI March 15, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI (LINARUDIWA) December 21, 2021
  • Ona zote

Habari Mpya

  • MABOMBA YA CHUMA KUMALIZA KERO YA MAJI KIJIJI CHA KUMBARA NA LITOLA

    May 18, 2022
  • DC AWASIMAMISHA KAZI WATUMISHI WATATU NAMTUMBO

    April 27, 2022
  • MWENGE WA UHURU WAPITIA MIRADI 9 YENYE THAMANI YA MILIONI 550 NAMTUMBO

    April 15, 2022
  • KAMANDA WA POLISI MKOA WA RUVUMA AZUNGUMZIA MAUAJI

    April 13, 2022
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.