• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Namtumbo wapendekeza vyanzo vipya vya mapato

Tarehe ya Kuweka: December 4th, 2023

NAMTUMBO WAPENDEKEZA  VYANZO VIPYA VYA MAPATO



Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo limepokea Mapendekezo ya kuanzisha  vyanzo vipya  vya mapato kwa lengo la kuongeza mapato ya ndani.


Diwani wa kata ya Mkongo Daniel Nyambo alisema Mapendekezo hayo ya kuanzisha vyanzo vipya vya mapato ni mazuri lakini akaomba madiwani wapate muda wa kupitia vyanzo hivyo na baraza lijalo waweze Kutoa maamuzi.


Lukas Njogopa Diwani wa kata ya Rwinga naye Kwa upande wake alisema kuwa ni vyema waheshimiwa madiwani wakapitie vyanzo hivyo vya mapato Ili baraza lijalo waje na maamuzi mazuri


Katibu kamati ya mapato na afisa mipango na uratibu wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Musa Mumina katika taarifa yake kwenye baraza Hilo alifafanua vyanzo vipya vya mapato vinavyopendekezwa ni pamoja na ujenzi wa vibanda vya biashara,ujenzi wa karakana ya magari na mitambo,mashine ya kufuatilia tofali  za saruji.,kiwanda Cha maji ya chupa na ujenzi wa shule ya Sekondari.


Hata hivyo aliongeza kuvitaja vyanzo vingine kuwa ni ununuzi wa mashine ya kuchakata kokoto,ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao,ujenzi wa stendi ndogondogo kwenye ngazi ya kata na vijiji pamoja na kituo Cha kuuza mafuta(Petrol  station)


Amandus Chilumba afisa Serikali za mitaa kutoka ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Ruvuma aliwataka waheshimiwa madiwani Kushirikiana na wataalamu katika zoezi la ukusanyaji wa mapato.,mapato ndio uhai wa Halmashauri alisema Chilumba.


Chilumba pia alisisitiza  kudumisha  mahusiano ili kushughulikia mambo Kwa hekima, busara  na akili katika kutatua changamoto zinazohitajika kutatuliwa .


Mapendekezo ya vyanzo vipya vya mapato katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo yatatolewa katika baraza la madiwani la  robo yapili linalotarajiwa kufanyika hivi karibuni kupisha madiwani hao kupitia Mapendekezo hayo  na Kisha Kutoa maamuzi yenye tija Kwa Halmashauri hiyo.

Mwisho.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.