• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

WAGOMBEA 13 (SHIVIWATA) WAFANYIWA USAILI

Tarehe ya Kuweka: August 12th, 2023

WAGOMBEA 13 WA SHIVIWATA NAMTUMBO WAFANYIWA USAILI


Shirikisho la vyama vya walemavu (SHIVIWATA) wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma  limewafanyia usaili wagombea 13  katika nafasi  mbalimbali za uongozi waliojitokeza kugombea nafasi katika shirikisho Hilo .

Akiongea mara baada ya kumalizikia Kwa zoezi la usaili huo msimamizi wa uchaguzi wa shirikisho Hilo Godfrey Mwaulesi ambaye alimwakilisha mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo alisema kuwa waliojitokeza kujaza fomu ni 13 .


Mwaulesi alidai waliojitokeza kujaza fomu za uongozi katika nafasi ya Mwenyekiti walikuwa 4 ikiwa wanaume 3 na mwanamke 1 na waliofanyiwa usaili walikuwa wanaume 2na mwanamke 1.


Pia Mwaulesi alifafanua katika nafasi ya Katibu waliojitokeza kujaza fomu walikuwa 5 ikiwa wanaume 3 na wanawake 2 na waliohudhuria usaili walikuwa 3 ikiwa wanaume 2 na mwanamke 1.


Katika nafasi ya Mwekahazina nafasi hiyo fomu ilijazwa na mtu 1 na katika nafasi ya wajumbe fomu zilijazwa na wajumbe 4 ambapo katika hao wajumbe waliofanyiwa usaili walikuwa 2 ikiwa mwanaume 1 na mwanamke 1.


Mgombea nafasi ya uenyekiti Bakari Salimu Mhamba alisema akipewa ridhaa ya wajumbe kumchagua kuwa kiongozi wao atawatumikia walemavu wenzake Kikamilifu.


Zabiuna  Ngonyani Kwa upande wake alisema amegombea nafasi ya Katibu na kuwaomba wajumbe wakati wa uchaguzi ukifika wamchague Ili aweze kuwatumikia Kwa kuwa ana uzoefu mkubwa wa nafasi hiyo.


Shirikisho la vyama vya walemavu (SHIVIWATA) wilayani Namtumbo inatarajia kufanya uchaguzi tarehe 30 mwezi Agosti mwaka huu 2023 Ili kupata viongozi wapya wa shirikisho .


Uchaguzi wa vyama vya walemavu (SHIVIWATA) unafanyika Kila baada ya miaka mitano ambapo mara ya mwisho uchaguzi huo ilifanyika mwaka 2019.

Mwisho.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.