• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

WANAFUNZI 3SHULE YA MTAKATIFU LAURENT WANUSURIKA KIFO

Tarehe ya Kuweka: January 22nd, 2023

 WANAFUNZI  3  SHULE  YA  MTAKATIFU  LAURENTI   WANUSURIKA KIFO

Wanafunzi  3 wa shule ya mtakatifu Laurenti iliyopo kijiji cha Ruvuma kata ya Hanga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma  wamenusurika  kifo baada ya pikipiki iliyowabeba kugongana  uso kwa uso na pikipiki nyingine katikati ya Daraja.

Wanafunzi walionusurika kifo ni France  Mustafa Issa(7) wa darasa la kwanza,Fatna Jafari Msuya (8) wa darasa la pili na mwanafunzi  Abdurahimu Mustafa Issa (8) wote ni wanafunzi wa shule ya mtakatifu Laurenti .

Kwa mujibu wa mtendaji wa kijiji cha Ruvuma  Ziada Mbawala alisema mwendesha pikipiki Hamis Aidini Luambano ambaye ni marehemu alibeba wanafunzi  watatu wa shule ya Mtakatifu Laurent akiwapeleka wanafunzi  hao shuleni kwa  pikipiki yake na alipofika katika daraja la mto hanga waligongana uso kwa uso na dereva mwezake wa pikipiki na kusababisha mwanafunzi   Fatna Jafari Msuya atumbukie kwenye mto .

Mbawala  alidai Hamisi baada ya kuona mwanafunzi  mmoja ametumbukia kwenye mto alijitosa kwenye maji kwenda kumsaka mwanafunzi huyo huku akiwa majini alizidiwa na maji mengi na kuzama ,na mtoto huyo kuokolewa na wasamaria  wengine waliofika katika eneo hilo.

Mbawala aliongeza kwa kusema Hamisi  Luambano  hakuweza kuonekana kwa siku hiyo ya tukio alionekana siku ya pili baada ya maji ya mto Hanga kupungua huku akiwa amepoteza maisha  na mwili wake kuzikwa kijiji cha Ruvuma .

Matukio ya kuzama kwa watu na  madereva wa pikipiki katika mto Hanga linaongezeka kutokana na daraja la mto huo kuwa jembamba na hapo darajani kuwepo kwa mashimo makubwa hali inayowafanya madereva wa pikipiki wanapofika katikati ya daraja hilo kukutana na mashimo na wanapojaribu kukwepa mashimo hayo huweza kusababisha ajali ya kugongana au kutumbukia ndani ya maji ya mto Hanga.

Daraja hilo lipo kwenye bwana linalozalisha umeme unaotumiwa na watawa wa Abasia ya Hanga ambapo daraja la mto hanga linaonekana kuwa jembamba linalohatarisha watembea kwa miguu ,madereva wa pikipiki na magari wakati wa kupita katika Daraja hilo.

Msababishaji wa ajali hiyo kwa mujibu wa mtendaji wa kijiji cha Ruvuma Ziada Mbawala kuwa  ni Peter Ngonyani mkazi wa kijiji cha Hanga na anashikiriwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano na aweze kufikishwa mahakamani .

Mwisho.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA June 27, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • MABADILIKO YA TAREHE YA KUFANYA USAILI June 22, 2022
  • Ona zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NAMTUMBO LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA BAJETI 2023/2024

    January 30, 2023
  • MAADHIMISHO YA KUZALIWA KWA RAIS SAMIA YAAMBATANA NA UPANDAJI WA MITI RUVUMA

    January 27, 2023
  • SHULE 16 NAMTUMBO ZANUFAIKA NA WALIMU WA MAZOEZI YA KUFUNDISHA

    January 26, 2023
  • MIFUGO MINGINE 508 YAKAMATWA NAMTUMBO

    January 25, 2023
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.