• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

atamani namtumbo kuwa na timu ligi kuu

Tarehe ya Kuweka: January 3rd, 2021

                                          ATAMANI  NAMTUMBO  KUWA NA TIMU LIGI KUU


Mwenyekiti wa chama cha mpira wilayani  Namtumbo(NADIFA) mkoani Ruvuma bwana  Zuberi Kossa amesema anatamani  kuipeleka  Namtumbo kupata timu itakayoshiriki  ligi  kuu  Tanzania bara  kutoka katika wilaya ya Namtumbo .

Bwana  kosa  aliyasema hayo katika uwanja wa Taifa katika mamlaka ya mji  mdogo wa  Namtumbo  hivi karibuni wakati  akifungua  bonanza la michezo mbalimbali iliyowashirikisha  watumishi wa kada zote  katika halmashauri ya wilaya ya Namtumbo.

Bwana Kossa  alidai michezo  iliyochezwa wakati wa ufunguzi  wa bonanza hilo ni pamoja na mpira wa miguu ,wa pete ,wavu,mchezo wa bao,kufukuza kuku,kuvuta kamba ,kukimbia na magunia,kukimbia na chupa kichwani ,pamoja na kukimbia mbio za mita mia .

Mgeni  Rasmi katika bonanza  hilo alikuwa katibu tawala wa wilaya ya Namtumbo  Aden  Nchimbi na katika hotuba yake ya ufunguzi wa bonanza  hilo alisema lengo  kuu la bonanza hilo ni kumpongeza  Mheshimiwa Raisi  wa Jamhuri  ya muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli  kwa kuchaguliwa tena kuiongoza nchi yetu kwa miaka mingine mitano  lakini pia kuwaunganisha watumishi wa  wilaya ya Namtumbo  katika kupata mawazo ya pamoja  katika kuiinua michezo wilaya ya Namtumbo.

Afisa  michezo wa Halmashauri  ya wilaya ya Namtumbo bwana  John Ligoho alisema pamoja na mambo mengine  ipo haja  kuziangalia mechi zinazochezwa katika wilaya ya Namtumbo  katika timu za wakubwa  zinatakiwa kutanguliwa na mechi za watoto waliochini ya miaka 18 ili kuibua wachezaji kutoka katika umri huo .

Ligoho  aliongeza kuwa kuwepo kwa mechi za utangulizi zitakazowashirikisha  watoto chini ya miaka 18 kutaifanya Namtumbo  kuwapata wachezaji wazuri  na wenye vipaji  na ndio watakaotengeneza timu nzuri ya wilaya ya Namtumbo.

Mwalimu  Jeremia  Kitwange  alisema amefurahishwa sana na bonanza  hilo kwani limewafanya watumishi  wa idara na vitengo  kutoka katika halmashauri ya wilaya ya Namtumbo na wale  wa serikali kuu ,Taasisi zisizoza kiserikali na Mashirika ya umma  kukutana pamoja , kufahamiana na kucheza pamoja  alisema Kitwange.

Mpango  wa  kuhakikisha wilaya ya Namtumbo inakuwa na timu itakayoshiriki ligi  kuu Tanzania bara umeridhiwa  na watumishi wote wa wilaya ya Namtumbo katika bonanza  hilo na kuweka mikakati  ya kuutaka  uongozi  wa chama cha mpira kuwakutanisha  wadau wa mpira na wananchi wote ili kupata michango yao badala ya michango ya upande wa watumishi pekee.

 Mwisho.

Matangazo

  • Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021 kutoka katika shule mbalimbali za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma December 18, 2020
  • Kimolo Secondary School Joining instruction December 18, 2020
  • Korido Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Lisimonji Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Ona zote

Habari Mpya

  • MJUMITA watoa mafunzo ya utawala bora namtumbo

    January 19, 2021
  • DC namtumbo awataka askari wa akiba kuilinda amani.

    January 19, 2021
  • mbunge namtumbo aupongeza uongozi sonamcu

    January 18, 2021
  • atamani namtumbo kuwa na timu ligi kuu

    January 03, 2021
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2018Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.