• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Carbon yamwaga mamilioni ya hewa ukaa Namtumbo

Tarehe ya Kuweka: June 19th, 2024

CARBON YAMWAGA MAMILIONI YA HEWA UKAA NAMTUMBO

Kampuni ya Carbon inayohamasisha utunzaji wa Misitu Kwa ajili ya upatikanaji wa hewa ukaa imemwaga mamilioni Wilayani Namtumbo .


Priska Msuha Mkuu wa Kitengo Cha maliasili na uhifadhi wa Mazingira Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo alisema Kampuni ya Carbon ilitoa jumla ya shilingi milioni 119 katika Wilaya ya Namtumbo Kwa ajili ya uhamasishaji utunzaji wa Misitu.


Msuha alidai fedha hizo zilitolewa Kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza zilitolewa milioni 18 Kila Kijiji kilipata milioni Moja huku jumuiya tatu za uhifadhi Wilayani humo Kila jumuiya ilipata milioni 3 ,huku Halmashauri hiyo ilipata kiasi Cha shilingi milioni 12,800,000.


Hata hivyo Msuha alifafanua malipo ya awamu ya pili kuwa Kampuni ya Carbon ilitoa milioni 54 ambapo katika vijiji 18 Kila Kijiji kilinufaika na kulipwa shilingi milioni 3 na jumuiya tatu za uhifadhi zilipata shilingi milioni 3 Kila jumuiya na Halmashauri ilipata milioni 10,200,000.


Afisa misitu wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Gravas Mwalyombo aliipongeza Kampuni ya Carbon Kwa kutoa fedha katika vijiji kuhamasisha utunzaji wa Misitu katika vijiji vyao ili kupatikana Kwa hewa ukaa.


Mwalyombo katika upande wa Kitengo Chake Cha misitu alidai kuwepo Kwa vijiji kuomba kuingizwa katika Mpango wa hewa ukaa baada ya kuona vijiji vilivyohifadhi misitu vinanufaika na mamilioni ya fedha kutokana na utunzaji wa Misitu.


Mwenyekiti wa Kijiji Cha Magazini Dandu Saidi Dandu Pamoja na kuishukuru Kampuni ya Carbon alikiri Kijiji chake kupokea fedha za hewa ukaa kutoka Kampuni ya Carbon Kwa ajili ya kufanyia Shughuli za maendeleo ya Kijiji hicho katika awamu mbili.


Dandu alibainisha matumizi ya fedha hizo katika Kijiji chake Cha Magazini ni Pamoja na kutengeneza madawati ya wanafunzi katika shule ya msingi Magazini ,kujenga choo Cha wanafunzi na kukarabati ofisi ya Kijiji Pamoja na Kununua vifaa vya ofisi ya Kijiji Cha Magazini kadiri ya maamuzi ya mkutano wa hadhara wa Kijiji hicho.


Kampuni ya Carbon imeahidi kuendelea kutoa fedha katika vijiji vya Wilaya ya Namtumbo Kwa ajili ya kuhamasisha utunzaji wa Misitu ili kuwezesha kupatikana Kwa hewa ukaa.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.