• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Dc Namtumbo aagiza Ratiba utoaji elimu ya Lishe vijijini

Tarehe ya Kuweka: October 31st, 2023

Dc  Namtumbo aagiza Ratiba  utoaji elimu  ya Lishe vijijini






Mkuu wa wilaya Ya Namtumbo Mkoani Ruvuma  Ngollo Malenya ameagiza kuwepo Kwa Ratiba Rasmi ya utoaji wa elimu ya Lishe Kwa wanawake wajawazito  na jamii Kwa ujumla .


Akizungumza  kwenye maadhimisho ya siku ya Lishe kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya sokoni katika mamlaka ya mji mdogo wa  Namtumbo  Perez Kamugisha afisa maendeleo  ya jamii katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo alimwakilisha mkuu wa wilaya ya Namtumbo katika maadhimisho hayo  na kusema kuwa Mkuu wa wilaya ameagiza kuwepo Kwa Ratiba za  utoaji wa elimu za !ishe   kwa  wanawake   wajawazito na  Kwa. jamii


Kamugisha  aliwataka wananchi wa wilaya ya Namtumbo kuzingatia Lishe kwani Kwa kufanya hivyo tutakuwa na  jamii  yenye afya Njema  na yenye uwezo wa kufikiri katika kulileteea taifa maendeleo.


Aidha Kamugisha  alitaja madhara ya kukosa Lishe Bora ni pamoja na jamii  kuwa na  ubwete, ukondefu  pamoja  na udumavu wa aki!I  Kwa jamiii ambayo  ni tegemeo Kwa ujenzi wa taifa.


Afisa Lishe wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  Rehema  Kivelia  alitumia siku ya maadhimisho hayo Kutoa elimu ya Lishe Kwa jamii Kwa kuelezea makundi matano ya chakula Kwa kufafanua faida za makundi hayo katika Lishe na madhara ya kutotumia makundi hayo ya chakula katika Lishe


Hata hivyo  Kivelia alisema timu ya wataalamu wa Lishe walipita mashuleni ,misikitini,makanisani kuhamasisha  jamii kulima bustani za mbogamboga, matunda, ,ufugaji wa  wanyama wadogo  na Kisha Kutoa elimu ya Lishe Kwa jamii .


Afisa ustawi wa jamii katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Godfrey Mwaulesi  pamoja na kuhimiza wananchi kuzingatia Lishe aliwaagiza maafisa ustawi katika vijiji na kata kusimamia vyema makuzi ya watoto katika maeneo Yao Kwa kuhakikisha  watoto baada ya kuzaliwa wanasimamiwa vizuri  Ili waweze kukua vizuri kiafya na kiakili.


Mwaulesi  alifafanua kuwa watoto wengi wanaharibika  mara baada ya kuzaliwa ,wazazi hawawazinagatii katika kuwapa Lishe Bora na malezi  Bora Ili kuwawezeaha watoto hao kukua kimwili na kiakili na badala yake  watoto huharibiwa Kwa kukosa malezi stahili alisema Mwaulesi.


Anna  Hinju alimwakilisha Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Namtumbo alidai kuwa afya ndio msingi  wa maendeleo katika jamii  na aliitaka jamii kuzingatia Lishe Ili kuwa na afya Bora.


Hinju alisema Mkurugenzi Mtendaji amesaini mikataba mbalimbali na watendaji wa kata na vijiji Ili kusimamia  utoaji wa afua za Lishe katika jamii.


Maadhimisho ya siku ya Lishe kitaifa yalifanyika katika viwanja vya sokoni mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ambapo Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ilikuwa  Lishe Bora Kwa vijana  balehe  chachu  ya mafanikio Yao.

Mwisho.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.