• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

DC NAMTUMBO AWATAKA WADAU KUSAIDIA WATOTO WENYE MAZINGIRA HATARISHI

Tarehe ya Kuweka: January 15th, 2023

DC NAMTUMBO AWATAKA WADAU KUSAIDIA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA  HATARISHI.


Aliyasema hayo ofisini kwake wakati wa kumkabidhi mtoto mlemavu (kiziwi)vifaa vya shule ili vimwezeshe kuanza kidato cha kwanza katika shule aliyopangiwa kwenda kusoma.

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt  Julius Kenneth Ningu alisema mtoto Nasma Yusuph Ismail alifika ofisini kwake kuomba msaada ili akasome kidato cha kwanza katika shule aliyopangiwa, kwa kuwa mzazi wake hana uwezo wa kumsomesha.

Dkt Ningu alidai ofisi yake kwa kushirikiana na ofisi ya mkurugenzi mtendaji wilaya ya Namtumbo kitengo cha ustawi wa jamii walitafuta wadau ili waweze kumsaidia mtoto Nasma aweze kutimiza ndoto yake ya kuendelea na masomo ya sekondari.

Afisa ustawi wa jamii katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Godfrey Mwaulesi  alisema shirika la huduma kwa mtoto krasta ya Namtumbo limetoa kiasi cha shilingi 739,900 kwa ajili ya kumwezesha mtoto Nasma fedha na kumnunulia vifaa vya shule.

Mwaulesi alidai kitengo cha ustawi wa jamii katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo kinawasiliana kwa karibu na kitengo cha ustawi wa jamii katika  Halmashauri  ya manispaa ya Iringa kwa ajili ya uangalizi wa karibu wa mtoto huyo akiwa shule ya sekondari ya  wasichana ya Iringa .

Mratibu wa shirika la huduma ya mtoto krasta ya Namtumbo alisema shirika liliwiwa na maombi ya mtoto Nasma na kutoa shilingi 739,000 gharama halisi ya mahitaji ya mtoto ili awaze kuhudhuria masomo katika sekondari aliyopangiwa.

Mzazi wa mtoto Ziada Mapunda pamoja na kuishukuru ofisi ya mkuu wa wilaya ,Mkurugenzi  alisema bila msaada huo hangeweza kumpeleka shule mtoto huyo kutokana na hali ngumu ya maisha.

Hata hivyo Mapunda alifafanua namna mtoto wake alivyochukuliwa na wasamaria na kumpeleka shule ya viziwi ya mtakatifu vicent ilivyopo manispaa ya songea na kusoma kuanzia darasa la kwanza mpaka kufaulu darasa la saba mwaka 2022 na kupangiwa shule ya wasichana Iringa ambapo bila misaada hiyo alidai hangeweza kumfikisha hapo alipofika na huko anakotaka kwenda.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KWA NAFASI YA UDEREVA September 01, 2023
  • Tangazo la kuahirishwa Usaili wa nafasi za kazi ya Udereva Drj II uliopangwa kufanyika kuanzia tarehe 02-03/07/2023 June 29, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KWA NAFASI YA UDEREVA September 01, 2023
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili kwa waombaji wa kazi ya Udereva June 23, 2023
  • Ona zote

Habari Mpya

  • Wadau wafurahishwa na Kongamano la Namtumbo Kihenge

    September 21, 2023
  • Dc Namtumbo awataka wananchi kushiriki tamasha la Namtumbo kihenge

    September 15, 2023
  • Dc Namtumbo kuunda tume kuchunguza malalamiko ya uuzaji wa maeneo ya vijiji

    September 13, 2023
  • DC NAMTUMBO KUUNDA TUME UUZAJI WA MAENEO YA VIJIJI

    September 09, 2023
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.