• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Ded Namtumbo atembelea miradi 18 ya ujenzi

Tarehe ya Kuweka: May 22nd, 2024

DED NAMTUMBO ATEMBELEA MIRADI 18  YA UJENZI


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma Philemon Mwita Magesa alitembelea miradi 18 ya ujenzi yenye jumla ya shilingi 550,876,000.


Magesa alifafanua Lengo la kuitembelea miradi hiyo ni kukagua ujenzi ,kuzungumza na watumishi Pamoja na wananchi waliopo kwenye maeneo ya miradi inapotekelezwa ili kubaini Changamoto na mafanikio yaliyopo katika utekelezaji wa miradi hiyo.


Hata hivyo Magesa alitaja vyanzo vya fedha zinazotekeleza miradi hiyo ni Seguip, Ruzuku toka serikali kuu, Mapato ya ndani ya Halmashauri, Swash Pamoja na mfuko wa Jimbo.


Katika ziara hiyo Magesa aliwataka wananchi ,watumishi waliopewa dhamana ya kusimamia miradi  ya ujenzi kufanya hivyo ili majengo yanayojengwa yaendane na thamani halisi ya fedha inayotumika alisema Magesa


Kaimu Afisa Mipango na uratibu wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Gabriel Makuka alidai ukaguzi wa miradi hiyo ulifanyika katika kata Sita ikiwepo kata ya Hanga,Msindo,Namabengo,Litola,Rwinga na Mchomoro.


Hata hivyo Makuka alisema katika kata hizo vijiji 11 vilitembelewa Kwa kuzungumza na wananchi katika miradi kikiwemo Kijiji Cha Mtakanini,Msindo,Nambehe,Mlilayoyo,Ngwinde,Mdwema,Utwango ,Mbimbi,Nambalama Mchomoro na Mitaa miwili ya kata ya Rwinga alisema Makuka


Festo Kilowoko mkazi wa kata ya Namabengo alisema anafurahishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo  Philemon Magesa Kwa kutembelea na kukagua miradi ya ujenzi mara Kwa mara na kuzungumza na wananchi ,Watumishi katika maeneo iliyopo miradi ya ujenzi .


Ziara ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Philemon Magesa  inaendelea katika kata na vijiji Wilayani humo kukagua miradi ya maendeleo kuzungumza na wananchi na watumishi ili kuhakikisha miradi  inakamilika Kwa wakati na ujenzi unalingana na uthamani wa fedha iliyotolewa na Serikali.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.