• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

HALMASHAURI NAMTUMBO YAGAWA PIKIPIKI 38 KWA MAAFISA UGANI NA USHIRIKA

Tarehe ya Kuweka: June 24th, 2022

HALMASHAURI  NAMTUMBO YAGAWIA PIKIPIKI 38 KWA MAAFISA UGANI NA USHIRIKA

Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma imewagawia  pikipiki  38  aina ya boxer  zilizotolewa na wizara ya kilimo katika Halmashauri hiyo hivi karibuni.

Kaimu afisa kilimo katika Halmashauri hiyo Michael Gambi alisema kuwa pikipiki hizo 38 zimegawiwa kwa maafisa ugani pamoja na maafisa ushirika wa wilaya hiyo.

Gambi alidai taratibu za kugawa pikipiki hizo kwa maafisa ugani na ushirika wa wilaya hiyo  umefanywa na  mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt Julius Kenneth Ningu ndiye

Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Chiriku Hamisi Chilumba pamoja na kuipongeza serikali kwa pikipiki hizo alisema pikipiki hizo zitarahisisha utendaji kazi wa maafisa ugani na ushirika katika maeneo yao ya kazi kwa kutoa huduma ya ugani kwa ufasaha.

Chilumba alidai zipo changamoto za maafisa ugani za kutowafikia wananchi kwa wakati kutokana na tatizo la usafiri, hivyo kitendo cha serikali kutoa pikipiki hizo zitaondoa changamoto hiyo ya muda mrefu kwa maafisa ugani .

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt Julius Kenneth Ningu pamoja na kuipongeza serikali kwa kununua pikipiki hizo aliwataka maafisa kilimo na ushirika kwenda kuchapa kazi kwa kutoa huduma bora kwa wakulima ili kuonesha tofauti katika uzalishaji wa mazao ya kilimo.

Ningu aliwataka maafisa kilimo na ushirika kuhakikisha pikipiki hizo zinafanya kazi iliyokusudiwa  na serikali katika maeneo yao ya kazi   na sio vinginevyo.

Wananchi wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo hujishughulisha sana na kilimo hivyo kutolewa kwa pikipiki hizo itarahisisha wataalamu wa kil.imo na ushirika kutoa huduma ya utaalamu wa kilimo kwa wananchi wa wilaya ya Namtumbo na kuongeza uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara katika wilaya hiyo.

NA YEREMIAS NGERANGERA

NAMTUMBO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.