• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

HII HAPA SIRI YA KUONGOZA USIMAMIZI WA MIRADI NAMTUMBO

Tarehe ya Kuweka: October 17th, 2022

                    HII HAPA   SIRI   YA KUONGOZA USIMAMIZI WA MIRADI  NAMTUMBO


Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Generali Wilbert Ibuge  aliipongeza Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo kwa kuongoza katika mkoa wa Ruvuma kwa usimamizi wa miradi ya ujenzi iliyofanywa katika wilaya hiyo.

Brigedia generali Ibuge aliyasema hayo katika kikao na wakuu wa idara wilayani Namtumbo mara baada ya ziara yake ya kukagua ujenzi wa madarasa shule za sekondari zilizopewa fedha za ujenzi za  UVIKO 19 na kubaini kuwa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo kuongoza katika  mkoa wa  Ruvuma  kwa kuwa na ujenzi uliokuwa wa viwango na ubora unaoridhisha ukilinganisha na Halmashauri zingine za Mkoa wa Ruvuma,.

Brigedia Generali Ibuge alidai katika ziara yake ya kukagua ujenzi wa madarasa yaliyopewa fedha za UVIKO19  Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo pekee katika mkoa wa Ruvuma ndiyo iliyofanikiwa kuweka Marumaru  katika madarasa yake yote wilayani humo alisema aliyekuwa mkuu wa mkoa huyo.

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt Julius Kenneth Ningu  katika kikao hicho pamoja na kumshukuru aliyekuwa Mkuu wa mkoa kwa pongezi alisema ushirikiano wa usimamizi kati ya ofisi yake ,ofisi ya mkurugenzi na viongozi ngazi ya kata na vijiji ndio iliyosababisha mafanikio ya ujenzi huo kwa kiwango cha juu.

Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya ya Namtumbo Chiriku Hamis Chilumba pamoja na kumshukuru  aliyekuwa mkuu wa mkoa alitaja siri moja wapo ya kufanikisha ujenzi huo wa madarasa kuwa ni kugawa madarasa ya ujenzi kwa wakuu wa idara ambapo kila mkuu wa idara alipata shule ya kusimamia na kutakiwa kuwa katika eneo la ujenzi na kufuatilia ujenzi hatua kwa hatua na kutoa ripoti katika ofisi yake hali iliyosababisha ujenzi wa madarasa kuwa wa viwango na kuongoza katika mkoa wa Ruvuma

Chilumba pamoja na hayo alisema anawashukuru wakuu wa idara wote wa Halmashauri hiyo kwa kujituma na kushirikiana vyema na viongozi wa kata na vijiji katika kutekeleza miradi ya ujenzi kwa kiwango bora na kuifanya halmashauri yake kuongoza katika mkoa wa Ruvuma katika usimamiaji wa miradi.

Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo imepokea tena fedha za ujenzi wa madarasa shule za sekondari kiasi cha shilingi milioni 340 kutoka serikali kuu ili kujenga vyumba vya madarasa 17 katika shule zenye upungufu wa madarasa wilayani humo na kudai kuwa mbinu hizo za usimamizi  wa ujenzi zitatumika  ili kuhakikisha madarasa yanakuwa ya kiwango bora na kuongoza kimkoa tena.

NA YEREMIAS NGERANGERA

NAMTUMBO

 .

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA June 27, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • MABADILIKO YA TAREHE YA KUFANYA USAILI June 22, 2022
  • Ona zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NAMTUMBO LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA BAJETI 2023/2024

    January 30, 2023
  • MAADHIMISHO YA KUZALIWA KWA RAIS SAMIA YAAMBATANA NA UPANDAJI WA MITI RUVUMA

    January 27, 2023
  • SHULE 16 NAMTUMBO ZANUFAIKA NA WALIMU WA MAZOEZI YA KUFUNDISHA

    January 26, 2023
  • MIFUGO MINGINE 508 YAKAMATWA NAMTUMBO

    January 25, 2023
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.