• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Kijiji Cha Mdwema chapitisha Mpango wa matumizi Bora ya ardhi.

Tarehe ya Kuweka: March 14th, 2024

KIJIJI CHA MDWEMA CHAPITISHA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI  2024/2034.

Wakiongea katika mkutano wa hadhara wa Kijiji hicho ,wananchi wa Kijiji Cha Mdwema walisema wanaridhia Mpango wa matumizi Bora ya ardhi ya Kijiji Chao.


Greyson Choma ni mwenyekiti wa Kijiji Cha Mdwema Pamoja na kuwashukuru wananchi wa Kijiji chake kuridhia kupitisha Mpango wa matumizi Bora ya ardhi ya Kijiji Chao , aliwashukuru zaidi wafadhili  CARITAS waliogharimia Mpango huo .


Choma Pamoja na shukrani hizo aliwataka wananchi wa Kijiji hicho kufuata sheria,kanuni,miongozo na taratibu zilizowekwa katika kusimamia Mpango wa matumizi Bora ya ardhi .


Faustin Chuma mwananchi wa Kijiji Cha Mdwema Pamoja na kuridhia kupitisha Mpango huo aliiomba idara ya ardhi kupanda mawe kwenye mipaka kati ya Kijiji Chao na vijiji vingine ili kulinda ardhi Yao iliyotengwa Kwa ajili ya msitu ili wananchi wa vijiji vingine wasiingie katika maeneo hayo Kwa madai ya kutojua maeneo Yao.


Afisa Mazingira wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Kelvin Mnali aliwaambia wananchi hao kuwa sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 inakataza kufanya shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji na maeneo ya milima huku akiwataka wananchi hao Kujua sheria hiyo katika kusimamia Mpango wa matumizi Bora ya ardhi ya Kijiji Chao.


Mary Albert Mratibu wa Mpango kutoka CARITAS ambao ndio waliofadhili Mpango huo alisema Kwa hatua za awali maeneo ya mipaka ya Kijiji hicho yatawekewa vibao kuonesha Shughuli inayotakiwa kufanywa katika eneo husika huku akiitaja idara ya ardhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kuandaa ramani na kupanda mawe kuonesha mpaka wa Kijiji hicho na vijiji vingine.


Zakaria Kapinga Afisa ardhi mteule wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo aliwaambia wananchi wa Kijiji Cha Mdwema kuwa Mpango wa matumizi Bora ya ardhi ya Kijiji chao utakuwa wa Miaka kumi kuanzia mwaka huu 2024 mpaka mwaka 2034 na baada ya Miaka 10 Mpango huo unaweza ukafanyiwa mapitio.


CARITAS ni Taasisi isiyo ya kiserikali ambayo inajishughulisha na vikundi vya ufugaji wa Nguruwe na kilimo Cha mazao kupitia vikundi vidogo vidogo vya wakulima wa Kijiji Cha Mdwema ambapo Taasisi hiyo inatumia kiasi Cha shilingi milioni 12 kukifanya Kijiji hicho kuwa katika Mpango wa matumizi Bora ya ardhi yake ya Kijiji.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.