• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Madiwani Namtumbo wapitisha mapendekezo ya Mpango na Bajeti wa 2024/2025

Tarehe ya Kuweka: February 20th, 2024


BARAZA LA MADIWANI NAMTUMBO LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2024/2025

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma limepitisha mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Kwa mwaka wa Fedha wa 2024/2025.


Afisa mipango ,uratibu na ufuatiliaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Musa Mumina alisema Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo inakisia kukusanya na kupokea jumla ya Tsh 35,475,103,000 ambapo kati ya hizo Tsh 10,810,840,000 ni fedha Kwa ajili ya miradi ya maendeleo,Tsh 20,505,300,000ni fedha Kwa ajili ya mishahara ,Tsh 1,325,123,000 ni fedha za ruzuku toka serikali kuu,Tsh 2,003,840,000ni fedha za mapato ya ndani yasiyolindwa na Tsh 830,000,000 ni mapato ya ndani lindwa.


Diwani wa kata ya Mkongo Daniel Nyambo alisisitiza bajeti iangalie uwezekano wa kuweka bajeti ya mafunzo Kwa waheshimiwa Madiwani ili wakajifunze Katika Halmashauri nyingine namna ya ukusanyaji wa mapato.


Nyambo alidai Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo inamaeneo mengi yanaendesha uchimbaji wa madini lakini hakuna diwani anayejua namna ya kukusanya mapato katika hayo machimbo na  aliyoyaita machimbo bubu.


Diwani wa kata ya Ligera Sambode Mhongo alisema watendaji wa kata waliopewa dhamana ya kukusanya mapato wamezima data ,hatua za maksudi zinatakiwa kuchukuliwa ili kudhibiti watendaji ambao hawakusanyi mapato

na kuruhusu utoroshaji wa mapato katika maeneo Yao.


Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Namtumbo Acheni Maulidi Mwishehe Pamoja na mambo mengine aliwaambia waheshimiwa Madiwani kuwa kata ambayo haikusanyi mapato diwani wa kata hiyo Naye anahusika katika kudhorotesha ukusanyaji wa mapato Kwa kuwa yeye ndiye mwenyekiti wa maendeleo ya kata yake.


Aidha Mwishehe alimtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kubainisha kata zile ambazo hazikusanyi na katika Hilo Madiwani wanahusika katika kudhorotesha ukusanyaji huo alisema Mwishehe.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Philemon Mwita Magesa aliwaambia waheshimiwa Madiwani kuwa swala la ukusanyaji wa mapato linahitajika nguvu ya pamoja kuanzia ngazi ya kitongoji,Kijiji,kata ,tarafa mpaka ngazi ya Wilaya.


Magesa alifafanua kuwa Bila Hela swala la kwenda mafunzo Kwa waheshimiwa Madiwani  ni ndoto Kwa kuwa jibu ni rahisi hakuna fedha lakini pakiwa na fedha Yale yote yanayopangwa yanapangika alisema Magesa.


Pamoja na hayo Magesa aliwaomba waheshimiwa Madiwani kushirikiana katika swala la ukusanyaji wa mapato Kwa kuwa yeye anatembea na vipaumbele vitatu ikiwemo ya ukusanyaji mapato,usimamizi wa miradi Pamoja na utawala Bora.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Juma Pandu Naye aliwasisitizia Madiwani katika kata zao kusimamia Kwa karibu ukusanyaji wa mapato na kuahidi kumpa ushirikiano  wa karibu kudhibiti utoroshaji wa mapato.


Mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Kwa mwaka 2024/2025 umezingatia Dira ya Taifa ya maendeleo (2025) Sheria ya bajeti Na.11 ya mwaka 2015,mwongio wa uandaaji wa Mpango na bajeeti Kwa mwaka 2024/2025 uliotolewa na wizara ya fedha na mipango mwezi Novemba 2023


Mapendekezo hayo pia yamezingatia ilani ya uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2020/2025,na malengo ya maendeleo endelevu 2030mpango mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo  2021/2022-. 20205/2026 na mapendekezo ya vipaumbele  kutoka ngazi ya kata,vijiji na maagizo mbalimbali ya viongozi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.