• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Mkuu wa Wilaya Namtumbo atoa maagizo mazito Kwa vyombo vya watumia maji

Tarehe ya Kuweka: March 22nd, 2024

MKUU WA WILAYA  NAMTUMBO ATOA MAAGIZO MAZITO KWA VYOMBO VYA WATOA HUDUMA ZA MAJI.



Katibu Tawala wa Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma Fransis Mgoloka alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo kwenye kikao Cha vyombo vya watoa huduma ya maji ngazi ya Jamii na kutoa maagizo mazito .


Mgoloka aliagiza vyombo ambavyo havijaanza kuchangia huduma ya maji vianze mara Moja kuchangia, huku akiitaka taarifa ya uchangiaje  huo ziwasilishwe ofisi ya Mkuu wa Wilaya.


Hata hivyo Mgoloka alimwagiza Meneja wakala wa maji na usafi wa Mazingira vijijini(RUWASA) Wilaya ya Namtumbo kusimamia Kwa dhati utekelezaji wa sheria namba 5 ya mwaka 2019 inayotaka kuunda Jumuiya ya watumia maji ili kuchangia huduma ya maji .


Pamoja na hayo aliagiza ofisi ya bonde za ziwa Nyasa na mto Ruvuma zihakikishe vyombo  vya watumia maji vinakuwa na vibali vya kutumia maji huku akiwaagiza RUWASA kuendelea na zoezi la kuunda kamati zilizobaki katika vijiji.


Sheria namba 5  ya maji na usafi wa Mazingira ya mwaka2019 ilianzisha vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya Jamii Kwa Lengo la kusimamia miradi ya maji vijijini Kwa kuilinda,kuitunza na kuhamasisha uchangiaji huduma ya maji.


Kwa Mujibu wa taarifa ya RUWASA Kwa Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo ,ilidai  Kwa mwaka 2023/2024 vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya Jamii vilifikia 18 lakini Pamoja na uundaji wa vyombo hivyo uchangiaji wa huduma hiyo inasuasua katika baadhi ya vyombo Licha ya kutolewa Kwa elimu kuhusu umuhimu wa kuchangia huduma ya maji ilisema taarifa hiyo.


George Mswaya Mratibu wa uundaji Vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya Jamii alisema RUWASA Inampango wa kuunganisha vyombo hivyo badala ya kuwa na vyombo vya utoaji huduma 18 vibaki 10 ili viweze kuwa na nguvu na uwezo wa kuwalipa wafanyakazi .


Dani Nyambo diwani wa kata ya Mkongo alishauri swala la kuunganisha vyombo vya utoaji huduma za maji sio suluhisho la wananchi kuchangia huduma hiyo Bali kuongeza nguvu za Pamoja ya kuwataka wananchi kuchangia huduma hiyo badala ya kuunganisha vyombo.


Nyambo alisema uwepo utaratibu wa wananchi  kuchangia Kwa mkupuo wakati wa mavuno badala ya kidogokidogo kutokana na wananchi wa Namtumbo kutegemea mauzo ya  mazao muda ambao wananchi wanakuwa na Hela ,hivyo ni vyema muda huo wachangie Kwa mkupuo alisema Nyambo.


Kikao Cha vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya Jamii kimefanyika katika ukumbi wa VETA Abasia ya Hanga ambapo Kwa taarifa ya  RUWASA katika kikao hicho ilionesha uchangiaji wa huduma za maji sio wakuridhisha Hali iliyopelekea Kutoka Kwa maagizo mazito kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.