• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

RC RUVUMA AAGIZA KUONDOLEWA KWA WAFUGAJI

Tarehe ya Kuweka: November 11th, 2022



Mkuu wa mkoawa Ruvuma Kanali Laban Thomas ameuagiza uongozi wa wilaya ya Namtumbo kuwauhakikishe inafanya tathimini ya kuwabaini wafugaji wote walioingia wilayanihumo bila kufuata taratibu, na ametoa siku 30 kuiondoa mara moja mifugo yao kwa walioingia pasipo kufuata taratibu na sivinginevyo.

Aidha mkuuwa mkoa kanali Laban Thomas amemwagiza kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma MarkoChilya, kuhakikisha kuwa wale wote waliohusika na tukio la mauwaji ya mkulimammoja na wafugaji 3 wanakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria harakaiwezekanavyo

Maagizo hayoyametolewa jana mchana na Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas wakatiakiongea na mamia ya wananchi wakiwemo wakulima na wafugaji katika kata ya mkongogulioniiliopo wilaya ya Namtumbo ambao ulihudhuliwa na viongozi mbalimbali waserikali.

Alisema kuwakufuatia tukio lililo tokea novemba 7 mwaka huu la kuwepo mapigano kati yawakulima na wafugaji na kusababisha vifo vya watu 4 ni jambo ambalo linaletasura mbaya kwa serikali na wananchi wenyewe, hivyo ameutaka uongozi wa wilayaya Namtumbo uhakikishe unachukua hatua za haraka kwa kufanya tathimini yakuwabaini watu wa jamii ya wafugaji ambao walifika bila kufuata taratibuwaondoe mifugo yao haraka waipeleke wilaya ya Tunduru ambako kuna vitalukwaajili ya kufugia ng’ombe na mifugo mingine.

Mkuu wa mkoawa Ruvuma kanali Laban Thomas alifafanua zaidi kuwa jeshi la polisi mkoani humolihakikishe wanabaini wale wote ambao wamesababisha machofuko kwenye kata hiyo kwawanakamatwa ili  kurudisha amani kwawananchi wa maeneo hayo ambapo kwa sasa wamegubikwa na hofu juu ya maisha yaokwa wakulima na wafugaji.

Kwa upandewake kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Marko Chilya akizungumza na Nipashejana alisema kuwa, Novemba 7 mwaka huu majira ya saa za mchana huko katika eneola kitongoji cha Ndilimila kata ya mkongogulioni, watu ambao ni jamii yawafugaji wa kabila la wamang’ati wakiwa na kundi la ng’ombe walifika kwenyebustani ya nyanya na mboga mboga ambako waliwaachia ng’ombe ambao walikula nakuharibu bustani yenye ukubwa wa zaidi ya hekali 1.

Alifafanuakuwa mmiliki wa bustani hiyo alipowaona wafugaji wakiwa na kundi la ng’ombealiwakataza lakini walikaidi na kuachia mifugo hiyo kwenye eneo la bustani yakebaadae waliondoka na mifugo yao kuelekea kwenye maeneo ya mashamba mengine.

KamandaChilya alifafanua kuwa, inadaiwa siku iliofuata mmiliki wa bustani hiyo aliefahamikakwa jina la Shaban Luambano(42) alikutwa akiwa ameuwawa kwa kuchomwa na mkukitumboni kisha kufunikwa na majani ya migomba ya ndizi .

Inadaiwa mkewake mdogo Sofia Husein wakati anakwenda kumwagilia maji kwenye bustani ndiealiegundua mwili wa mume wake ukiwa umefunikwa na majani ya migomba ya ndizi na baadae alitoa taarifa kwa uonozi waserikali ya kijiji, kisha polisi walifika kwenye eneo la tukio na sikuiliofuata watu 3 wa jamii ya wafugaji wa kabila la wamang’ati walikutwa wakiwawameuwawa na watu wasiojulikana ambapo aliwataja kuwa ni JacklineYegela(18),Kija Yegela(11) na Nkinga Ndila(13) pia ng’ombe zaidi ya 200wamekamatwa.

Na Yeremias Ngerangera

Namtumbo

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA June 27, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • MABADILIKO YA TAREHE YA KUFANYA USAILI June 22, 2022
  • Ona zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NAMTUMBO LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA BAJETI 2023/2024

    January 30, 2023
  • MAADHIMISHO YA KUZALIWA KWA RAIS SAMIA YAAMBATANA NA UPANDAJI WA MITI RUVUMA

    January 27, 2023
  • SHULE 16 NAMTUMBO ZANUFAIKA NA WALIMU WA MAZOEZI YA KUFUNDISHA

    January 26, 2023
  • MIFUGO MINGINE 508 YAKAMATWA NAMTUMBO

    January 25, 2023
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.