• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Familia 6 zapata pigo

Tarehe ya Kuweka: February 11th, 2021

                                                      

Familia sita katika kijiji cha Namanguli  kata ya Luchili wilayani  Namtumbo  mkoani Ruvuma  zimepata  pigo la kuezuliwa nyumba zao  na upepo mkali ulioambatana na mvua kali na kuziacha familia hizo zikihangaika  kwa kukosa  makadhi.

Tukio hilo limetokea hivi karibuni, muda wa jioni ambapo  mvua iliyoambatana  na  upepo  mkali iliezua nyumba tano za familia  moja  na moja kutoka katika familia nyingine  karibu  kabisa  na familia hizo tano katika kijiji cha Namanguli  wilayani humo.

Walioezuliwa na upepo huo ni pamoja  na Shabani  Issa, Achumi  Issa,Zuberi  Issa, Mkwawa  Issa ,Saidi  Issa pamoja  na Osmundi Menas  wote wa kijiji cha Namanguli  kata ya luchili wilaya ya Namtumbo  mkoa wa Ruvuma.

Kaimu mtendaji  wa kijiji cha Namanguli  bi. Hija Siwea  amedai katika tukio hilo hakuna watu walioathirika kwani  wakati matukio hayo  ya kuezuliwa  nyumba hizo yanatokea  familia za nyumba hizo zilikuwa  bado hazijarudi kutoka shambani.

Bi. Siwea  alisema  uongozi  wa kijiji kwa kushirikiana na mheshimiwa  diwani  wa kata ya luchili bwana Othmani Njovu waliwatembelea  wananchi waliopatiwa na tatizo hilo kwa lengo la kutoa pole kwa waathirika .

Upepo  huo pia uliezua shule ya msingi  kilangalanga kata ya Luchili jumla ya madarasa  2,shule ya msingi  Ligunga mamlaka ya mji mdogo wa Lusewa  darasa moja  pamoja na shule  ya msingi msisima darasa moja  katika mamlaka hiyo hiyo ya lusewa.

Mkurugenzi wa  Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  bwana Evance  Nachimbinya alitembelea  shule zilizopatwa  na majanga hayo na kuchukua hatua ya kuezeka majengo yote yaliyoezuliwa na upepo huo na kuhakikisha shule zote zinaendelea  na masomo kama kawaida .

Mvua zinazoendelea   kunyesha wilayani Namtumbo  mkoani Ruvuma  zimekuwa za upepo  mkali zinazoambatana  na radi mara kwa mara lakini mvua hiyo imekuwa  tegemeo  kubwa kwa wakulima wa wilaya ya Namtumbo kwani  wanadai mvua ya mwaka huu ni ya kupata  mazao mengi  kwani  inanyesha  kwa vipindi hali inayofanya  mazao yapate nafasi ya kukua.

                MWISHO

Matangazo

  • Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2021 kutoka katika shule mbalimbali za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma December 18, 2020
  • Kimolo Secondary School Joining instruction December 18, 2020
  • Korido Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Lisimonji Secondary School Joining Instruction December 18, 2020
  • Ona zote

Habari Mpya

  • Naibu waziri aridhishwa ujenzi wa bweni ,bwalo namtumbo

    February 24, 2021
  • Baraza la wafanyakazi namtumbo lapitisha mapendekezo ya bajeti 2021/2022

    February 22, 2021
  • Familia 6 zapata pigo

    February 11, 2021
  • Mkurugenzi atoa maagizo mazito kwa watendaji

    February 10, 2021
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2018Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.