• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

KIKOKOTOO GUMZO MEI MOSI RUVUMA

Tarehe ya Kuweka: May 1st, 2024

           KIKOKOTOO GUMZO MEI MOSI RUVUMA



Siku ya wafanyakazi Mkoani Ruvuma imeazimishwa katika Wilaya ya Tunduru ambapo vyama vya wafanyakazi vimepaza sauti zao kulalamikia Serikali  kuhusu kikokotoo Kilichopo Kwa watumishi wa umma wakati wa kustaafu.


Akisoma Risala ya wafanyakazi Kwa Mgeni Rasmi katibu wa TUGE  Mudathiri  Ismail ambaye pia ni Mratibu wa Maadhimisho hayo alisema kikokotoo hakiwahusu waajiriwa wa zamani Kwa kuwa hakikuwa katika mikataba Yao ya ajira.


Ismail katika Risala hiyo alidai wafanyakazi wanafanya tathmini  hatima ya ajira zao wakikinyoshea kidole kikokotoo ambacho kina watesa wafanyakazi hao .


Hata hivyo Ismail alifafanua kuwa mishahara ya wafanyakazi haikidhi mahitaji ukilinganisha na gharama halisi za maisha hivi Sasa .


Mgeni Rasmi katika Maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed ambapo Pamoja na mambo mengine alivishukuru vyama vya wafanyakazi Kwa kuandaa Maadhimisho hayo ya mei mosi na kujitokeza Kwa wingi kuhudhuria Maadhimisho hayo.


Kanali Abbas aliwataka waajiri katika Mkoa wa Ruvuma kujenga mazoea ya kutoka zawadi Kwa wiki,mwezi mmoja ,Sita Kwa wafanyakazi ili kuongeza morali ya kufanyakazi Kwa watumishi badala ya kusubiri siku ya wafanyakazi pekee.


Abbas aliwaambia wafanyakazi kuwa migogoro ya wafanyakazi inatokana na kutozingatia misingi ya utawala Bora ,kutokuwa na ushirikishwaji, usiri usio wa lazima na uamuzi usiozingatia haki Kwa watumishi alisema Kanali Abbas.


Hata hivyo aliwapongeza wafanyakazi kupitia Risala Yao  kuthamini kazi kubwa ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt .Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa miradi mbalimbali Mkoani Ruvuma .


Pamoja na hayo yote Kanali Abbas amewaambia wafanyakazi kuwa Changamoto zote zilizotolewa zimepokelewa na ofisi yake na Changamoto zinazoweza kutatuliwa na ofisi yake zitafanyiwa hivyo na zile zingine zitapelekwa katika ngazi zingine zenye mamlaka.


Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Mkoa wa Ruvuma yamefanyika katika Wilaya ya Tunduru ambapo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma alitoa zawadi ya fedha na vyeti Kwa wafanyakazi Bora wa Mkoa wa huo


Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi mwaka huu yamebeba kauli Mbiu isemayo "nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao Bora na kinga dhidi ya Hali ngumu ya maisha.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.