• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

DC NAMTUMBO ACHANGIA BATI 75 UJENZI WA NYUMBA YA MTUMISHI UWT

Tarehe ya Kuweka: October 6th, 2022

DC NAMTUMBO ACHANGIA BATI 75 UJENZI  WA NYUMBA YA MTUMISHI U.W.T.


MKuu wa wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Dkt Julius Kenneth Ningu amechangia bati 75 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya mtumishi  wa umoja wa wanawake wa Chama Cha mapinduzi wilaya ya Namtumbo .

Akiongea wakati wa kukabidhi bati hizo mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt Ningu aliwaambia viongozi wa umoja huo kuwa ameguswa na jitihada inayofanywa na umoja huo wa kujenga nyumba ya mtumishi wao hali iliyomfanya naye achangie bati 75 ili  kuwatia moyo na kuwaongezea ari ya kujituma Zaidi ili waweze kufanikiwa lengo walilojiwekea .

Aden Nchimbi Katibu tawala wa wilaya ya Namtumbo alisema bati hizo zilinunuliwa kwa shilingi  2,625,000 ambapo kila bati lilinunuliwa kwa shilingi 35,000  kila moja na kukabidhiwa uongozi wa umoja wa wanawake  wa chama cha mapinduzi wilaya ya Namtumbo.

Mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Namtumbo Nuru Ndimbo pamoja na kumshukuru Mkuu wa wilaya ya Namtumbo kwa kuchangia bati 75  ,alisema Mkuu wa wilaya huyo ni msaada mkubwa kwa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi lakini pia kwa wananchi wote wa wilaya ya Namtumbo kwa kusimamia shughuli za maendeleo ya jamii.

Aidha Katibu wa umoja huo Elifuraha Sumary  alidai umoja wa wanawake wilaya ya Namtumbo wanajivunia kuwa na mkuu wa wilaya huyo kwa madai kuwa mchango wake wa fedha,mawazo ya uhamasishaji wa ujenzi huo ndio tegemeo  la umoja huo toka walipopitisha wazo la kujenga nyumba ya mtumishi wao mkuu wa wilaya huyo yupo nao na hata kufikia kuchangia bati 75 za kuezekea jengo la mtumishi wao alisema katibu.

Kwa Mujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya Ujenzi Shaibu Majiwa alisema ujenzi wa Nyumba ya Mtumishi wa Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Namtumbo unafanyika katika kiwanja kilichopakana na eneo la jumuiya ya Mbarang’andu  na eneo la shule ya sekondari ya Nasuli jiraji kabisa na kiwanja cha mpira wa shule hiyo.

Majiwa alifafanua kuwa ujenzi wa nyumba ya mtumishi wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Namtumbo  ulianza kujengwa .mwaka 2021 kwa kutegemea michango kutoka kwa wanachama wa umoja huo pamoja na wadau mbalimbali.

NA Yeremias Ngerangera

NAMTUMBO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.