• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Mabomu yarindima ugomvi wa wafugaji na wakulima Namtumbo

Tarehe ya Kuweka: October 12th, 2023

MABOMU YARINDIMA UGOMVI WA WAFUGAJI NA WAKULIMA  NAMTUMBO



Ugomvi wa wafugaji na wakulima katika kijiji cha Amani kata ya Magazini wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma uliibuka mara baada ya wafugaji kuingiza mifugo katika mashamba ya korosho na kuharibu korosho kwenye mashamba ya wakulima.

Mwenyekiti wa kijiji cha Amani  Ismaili Banda alisema kijiji chake hakijapokea wafugaji na hakina eneo la kuwaweka wafugaji lakini wafugaji hao hutoka katika vijiji vingine na kuingia kijiji hicho kuchunga mifugo yao na kulisha mazao ya wakulima.

Banda alisema chanzo cha kurindima kwa mabomu katika mgogoro huo ni wananchi kutoridhika na jeshi la polisi linapopelekewa malalamiko na wafugaji huegemea upande wa wafugaji na kutaka kuwanyanyasa wakulima yaani wananchi wa kijiji cha Amani alisema mwenyekiti.

Mwenyekiti   Banda alifafanua kuwa wakulima wawili wa kijiji hicho Mohamedi Mohamedi  na mwenzake Obedi Ambali  walitoa taarifa kijiji kuwa Ng’ombe wamevamia mashamba yao na kwenda kukamata zile ng”ombe na kuziweka chini ya kijiji kwa hatua Zaidi.

Baada ya Ng”ombe hao kukamatwa mwenyekiti alidai kupigiwa simu na mfugaji aliyejitambulisha kwa jina moja la Nyerere akidai ng”ombe wake wamekamatwa katika kijiji changu na nikamwambia ni kweli aje ofisini kwa ajili ya kuzungumzia swala lake lakini badala yake alipiga simu kwa kamanda wa polisi mkoa na kamanda wa polisi wilaya ya Namtumbo na kisha kuja na polisi kijijini hapo alisema mwenyekiti huyo.

Hata hivyo Banda alisema mara baada ya polisi kufika kijijini hapo walifika kwenye mashamba ya wakulima na kuwatisha wakulima waliokuwa wameharibiwa na mashamba yao ya korosho kwa kusema wameharibu wenyewe na kudai wafugaji wamepitisha mifugo hali iliyowakasirisha wakulima hao alisema mwenyekiti wa kijiji hicho.

Pamoja na ukaguzi huo wafugaji waliwaambia polisi kuwa Ng”ombe wao amechinjwa wakimtuhumu Musa Jongo ambapo polisi walifika nyumbani kwa issa Jongo na kuikuta Ngozi ya Ng”ombe aliyechinjwa hivi karibuni na kutaka kumkamata hali wananchi hao wakijua kuwa bwana Jongo Ng’ombe huyo alinunua kwa ajili ya sikukuu ya Eid el haj.

Kwa mujibu wa Musa Jongo mwenyewe alisema pamoja na kuwaambia polisi hao ng”ombe niliyechinja alinunua kwa ajili ya sikukuu ya Eid el haj  hawakutaka kumwelewa na kutaka kumkamata hali iliyoibua hasira kwa wananchi na kudai kuwa hachukuliwi mtu hapo na wananchi wakazidi kupeana taarifa na kuzidi kuongezeka eneo la tukio na ndipo polisi walipojaribu kuwatawanya kwa mabomu wananchi hao wakipiga kelele hatoki mtu hapo na ndipo aliposalimika alisema Jongo.

Issa Yahya  mwananchi wa kijiji cha Amani aliwalalamikia jeshi la polisi kwa kuwapendelea wafugaji akidai kijiji hicho kimejifunza kutokana na matendo ya polisi kuwakamata wananchi waliopigana na wafugaji baada ya wafugaji kuingiza mifugo yao katika mashamba yao lakini wafugaji wakaonekana wanabebwa na polisi na wananchi walikaa mahabusu na kijiji kwenda kuwapambania ili waweze kutoka.

Yahya aliongeza kuwa kijiji cha Amani kwa sasa polisi hatuwaamini katika kushughulikia maswala ya migogoro ya  wakulima na wafugaji kwa kuwa wanaegemea upande wa wafugaji  na kuwanyanyasa wakulima alisema Yahya .

Mtendaji wa kijiji cha Amani Constantine Gilbat alisema mgogoro huo ulilipotiwa ofisi ya mkuu wa wilaya na mkuu wa wilaya ya Namtumbo kufika katika kijiji hicho kuzungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara  na kuweza kurudisha hali ya chuki na kuwa ya Amani tena.

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Ngollo Malenya alizungumza na wananchi wa kijiji hicho huku akiwataka wafugaji kuondoka katika kijiji hicho na kulipa gharama za uharibifu tsh 300,000 kutoka kwa wenye mashamba walizotaka walipwe ili mgogoro huo uishe.

Wananchi wa kijiji cha Amani kata ya Magazini kupitia mikutano yao ya hadhara walikubaliana kutowapokea wafugaji katika kijiji hicho na wafugaji watakaoonekana katika kijiji hicho watakamatwa na serikali ya kijiji hicho na kushughulikiwa kwa mujibu ya sheria na kiongozi yoyote atakayejihusisha na kuwapokea wafugaji katika kijiji hicho ataondolewa madarakani pamoja na kufikishwa mahakamani.

Mwisho.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.