• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Madudu ukaguzi wa maduka ya dawa muhimu Namtumbo

Tarehe ya Kuweka: October 11th, 2023

MADUDU UKAGUZI MADUKA YA DAWA MUHIMU  NAMTUMBO

Mganga mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt.Aaron Hyera  alifanya ukaguzi wa kushtukiza katika baaadhi ya maduka ya dawa muhimu na kubaini madudu kwenye maduka hayo!


Akiongea baada ya ukaguzi wa maduka mawili ya dawa muhimu katika Kijiji Cha Ligunga mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo alisema aliamua kufanya ukaguzi huo wa kushtukiza Ili kujionea halihalisi katika maduka hayo ya dawa muhimu na kubaini madudu katika maduka hayo.


Dkt .Aaron Hyera alikamata dawa zilizopitwa na wakati ,

lakini pia alikamata   dawa ambazo haziruhusiwi kuuzwa katika maduka ya dawa muhimu na badala yake kwenye vituo vya afya na hospitali za wilaya.


Hata hivyo Dkt Hyera alibaini wauza dawa katika maduka hayo kutokuwa na vibali Vilivyowaidhinisha kuuza dawa katika maeneo ambayo hayajakaguliwa na mamlaka husika .


Dkt .Hyera aliwaambia wauza dawa muhimu kuwa dawa zao zinachukuliwa  na ofisi yake mpaka watakapokidhi vigezo vya kisheria vya wao kuendelea kuuza maduka ya dawa muhimu kwa kufuata taratibu za uuzaji na umiliki wa maduka ya dawa muhimu.


Mtendaji wa mamlaka ya mji mdogo wa Lusewa Viligilia Shawa alidai wauzaji hao walikuwa wanaambiwa  kufuata utaratibu wa kisheria wa uanzishaji wa maduka ya dawa na kupata leseni lakini hawakutaka kufanya hivyo mpaka ukaguzi unawakuta hawana vibali vyovyote na mbali zaidi kuuza dawa ambazo zimepitwa na wakati lakini kufanya tiba ambayo haipaswi kufanya katika maduka ya dawa muhimu .


Prosperia Maguga na ELmina Maurus Msuha  wauzaji wa maduka ya dawa muhimu katika Kijiji Cha Ligunga walimwambia Mganga mkuu wa wilaya kuwa wanakubaliana na maelekezo yaliyotolewa na mganga mkuu huyo na wapo tayari kufuata utaratibu wa kisheria wa umiliki na uuzaji wa maduka ya dawa muhimu.


Husein Mkundi na Matola Mpichila  wananchi wa Kijiji Cha Ligunga waliipongeza Serikali Kwa kufanya ukaguzi kwenye maduka hayo ya dawa na kubaini dawa zilizopitwa na wakati huku wananchi wakiendelea kuuziwa dawa hizo ambazo zimepitwa na wakati ambazo ni hatari Kwa afya za watumiaji.


Mkundi na Mpichila waliomba Serikali kuhakikisha zahanati za Serikali zinakuwa na dawa za kutosha badala yake ukifika kwenye zahanati za Serikali unaambiwa dawa hakuna nenda kwenye duka la dawa kanunue na ukifika kwenye duka la dawa muhimu unakutana na dawa zilizopitwa na wakati na wananchi hawajui hununua na kwenda kutumia walisema wananchi hao.


Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo inaendelea kufanya ukaguzi wa maduka ya dawa muhimu kwa kushtukiza Ili kujiridhisha na vigezo vya uanzishwaji na uuzaji vya maduka na wale wasiokidhi vigezo maduka Yao yatafungwa mpaka yatakapokidhi vigezo vya kisheria vilivyopo.

Mwisho.











Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.