• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

NAMTUMBO KUANZISHA OPERESHENI PANDA MIHOGO

Tarehe ya Kuweka: September 12th, 2022



 MKuu wa wilaya Namtumbo mkoani Ruvuma amepanga kuanzisha operesheni panda mihogo kwa ajili ya kukabiliana na upungufu wa chakula ambao unaweza kujitokeza hapo baadae

Mkuu wa wilaya ya Namtumbo Dkt.Julius Kenneth Ningu ameserma mpango huo utawasilishwa katika vikao vya kisheria vya halmashauri  ili wazo hilo la kuhamasisha kilimo cha zao la mihogo liweze kupata Baraka za vikao husika 

Kassimu Gunda diwani wa kata ya Likuyu alidai wazo hilo la mkuu wa wilaya ni wazo zuri na kuhaidi kumpa ushirikiano katika vikao vya kisheria vya Halmashauri hiyo ili wazo hilo liweze kupitishwa na kuungwa mkono na madiwani wa Halmashauri hiyo

Gunda alidai wazo hilo litasaidia wananchi wa wilaya ya Namtumbo kiuchumi ,pamoja na kukabiliana na upungufu wa chakula kwa musimu ambao hali ya hewa itakuwa sio  wezeshi kwa mazao endapo kama kutatokea ukame . 

Mpango wa kuanzisha operesheni ya kilimo cha mihogo katika Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo inategemea kuanzishwa katika msimu  huu wa 2022/2023 ili kuifanya wilaya ya Namtumbo kujikinga na upungufu wa chakula ambao unaweza kutokea endapo kama kutatokea na ukame.

Aidha mpango kwa mujibu wa mkuu wa wilaya huyo alidai kuwa utakuwa shirikishi kwa kuwashirikisha viongozi ngazi ya wilaya,kata na vijiji ili kuweza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulima  mashamba ya mihogo.   

Salumu Kiyomoyomo wa kijiji cha Kitanda pamoja na kumpongeza mkuu wa wilaya huyo  alisema wazo hilo la mkuu wa wilaya ni wazo la kuifanya wilaya kujiimarisha kiuchumi pamoja na kujikinga na uhaba wa chakula .

Kiyomoyomo alimwomba mkuu wa wilaya huyo kuishauri Halmashauri  kuweza kupata mbegu ya muda mrefu inayoweza kukaa kwa muda mrefu ardhini bila kuharibika tofauti na mbegu za mihogo ya sasa iitwayo kiroba ambayo haiwezi kukaa kwa muda mrefu.

Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo ina jumla ya kata 21 ambapo kata hizo wananchi wake wakihamasishwa kulima zao la muhugo itaifanya wilaya kuwa na chakula cha kutosha na kuwa na ziada kubwa ya chakula.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KWA NAFASI YA UDEREVA September 01, 2023
  • Tangazo la kuahirishwa Usaili wa nafasi za kazi ya Udereva Drj II uliopangwa kufanyika kuanzia tarehe 02-03/07/2023 June 29, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI KWA NAFASI YA UDEREVA September 01, 2023
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili kwa waombaji wa kazi ya Udereva June 23, 2023
  • Ona zote

Habari Mpya

  • Wadau wafurahishwa na Kongamano la Namtumbo Kihenge

    September 21, 2023
  • Dc Namtumbo awataka wananchi kushiriki tamasha la Namtumbo kihenge

    September 15, 2023
  • Dc Namtumbo kuunda tume kuchunguza malalamiko ya uuzaji wa maeneo ya vijiji

    September 13, 2023
  • DC NAMTUMBO KUUNDA TUME UUZAJI WA MAENEO YA VIJIJI

    September 09, 2023
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.