• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

NG"OMBE 324 NA PUNDA WA 5 WAKAMATWA NAMTUMBO

Tarehe ya Kuweka: January 24th, 2023

                               NG”OMBE 324 NA PUNDA  WA 5 WAKAMATWA NAMTUMBO

Ng’ombe 324 na Punda  wa 5 wamekamatwa katika kijiji cha kitanda wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma  kwa kuingia mkoa  wa Ruvuma  kinyemera  bila vibali vilivyowaruhusu kuingiza mifugo yao katika  mkoa wa Ruvuma  wakitokea  mkoani Morogoro  wilaya ya Malinyi.

Afisa mifugo wa Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo Paul Ambokile alikiri kukamatwa kwa mifugo hiyo katika kijiji cha kitanda na kudai kuwa wafugaji hawakufuata utaratibu wa uingizaji wa mifugo kutoka mkoa mwingine na kuingiza mkoa mwingine.

Hata hivyo Ambokile alidai waingizaji wa mifugo hiyo walilipa faini ya kuingiza mifugo bila vibali na zoezi la kuwarudisha wafugaji  pamoja na  mifugo yao  lilisimamiwa na uongozi  ngazi ya Mkoa wa Ruvuma kwa kuwasiliana na uongozi wa ngazi ya mkoa wa Morogoro .

Afisa mtendaji wa kijiji cha kitanda Ayubu Muhuwa alisema Ng’ombe na punda hao walikuwa katika maeneo ya msitu wa hifadhi ya kijiji cha kitanda Mtaungana  eneo ambalo limetengwa na kijiji cha kitanda kwa ajili ya matumizi bora ya ardhi.

Mhuwa alidai taarifa za wafugaji kuchunga mifugo yao katika maeneo ya hifadhi zilitolewa katika mamlaka husika ambapo wajumbe wa serikali ya kijiji kwa kushirikiana na kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma   waliwakamata wafugaji hao waliokuwa na Ng’ombe 324 na Punda  wa 5 katika hifadhi ya kijiji Mtaungana.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma ACP. Marco Chillya walikiri kukamata mifugo329 na wafugaji waliotokea wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro na kuingia kijiji cha kitanda wilaya ya Namtumbo bila kuwa na vibali vilivyowaruhusu kuingiza mifugo katika mkoa wa Ruvuma  na  hivyo pamoja na kuwataka kulipa faini   waliwasimamia wafugaji hao kurudisha mifugo yao wilaya ya Malinyi Mkoa wa Morogoro.

 kijiji cha kitanda ni kijiji cha wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma kilichopakana na wilaya ya Malinyi mkoa wa Morogoro ambapo wafugaji hutumia kupitisha mifugo yao kutoka wilaya ya Malinyi na kuingiza mkoa wa Ruvuma kupitia kijiji hicho.

Mwisho

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA June 27, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WAOMBAJI WA KAZI YA MUDA YA SENSA WALIOFAULU USAILI NA KUITWA KWENYE MAFUNZO July 27, 2022
  • MABADILIKO YA TAREHE YA KUFANYA USAILI June 22, 2022
  • Ona zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI NAMTUMBO LAPITISHA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA BAJETI 2023/2024

    January 30, 2023
  • MAADHIMISHO YA KUZALIWA KWA RAIS SAMIA YAAMBATANA NA UPANDAJI WA MITI RUVUMA

    January 27, 2023
  • SHULE 16 NAMTUMBO ZANUFAIKA NA WALIMU WA MAZOEZI YA KUFUNDISHA

    January 26, 2023
  • MIFUGO MINGINE 508 YAKAMATWA NAMTUMBO

    January 25, 2023
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: S.L.P 55 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0765142640

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.