• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Nyaraka za Manunuzi ujenzi wa Barabara ya Lami Namtumbo Mjini zamridhisha kiongozi wa Mbio za Mwenge 2024

Tarehe ya Kuweka: June 10th, 2024

NYARAKA ZA MANUNUZI UJENZI WA BARABARA NAMTUMBO MJINI ZAMRIDHISHA KIONGOZI MBIO ZA MWENGE

Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Godfrey Eliakimu Mnzava aliridhishwa na nyaraka za Manunuzi yaliyofanywa na Tarula Wilaya ya Namtumbo wakati wa kutekeleza mradi wa ujenzi wa Barabara ya Lami Namtumbo Mjini.


Mnzava alidai kuridhishwa na Tarura Wilaya ya Namtumbo kwanza Kwa kufuata taratibu,kanuni na sheria za zabuni katika kuwapata wazabuni lakini pia kutumia mfumo wa Manunuzi ya umma katika Kila Hatua.


Pamoja na hayo Mnzava alikagua barabara ya Lami yenye urefu wa kilomita 1.6 iliyojengwa Kwa zaidi ya milioni 889 na kuridhika kuweka jiwe la msingi katika barabara hiyo.


Mhandisi Fabian Lugalaba Meneja wa Tarura Wilaya ya Namtumbo alisema madhumuni ya kujenga barabara ya Lami kilomita 1.6 ni kuimarisha mawasiliano kati ya kitongoji Cha Namabengo na Bomani na hasa kuboresha mandhari ya mji wa Namtumbo Kwa ujumla.


Lugalaba alidai ujenzi wa Barabara ya Lami Namtumbo Mjini ulihusisha ujenzi wa matabaka ya changarawe, Lami nyepesina kokoto  Pamoja na uwekaji wa taa 43 za Sola barabarani.


Ujenzi mwingine ulihusisha ujenzi wa karavati mita 101,uwekaji wa alama za barabarani 10 na ujenzi wa mifereji ya barabara mita za mraba 3084 alisema Lugalaba.


Ally Lyuma mkazi wa mji wa Namtumbo Pamoja na kumpongea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kutoa fedha alisema ujenzi huo wa Barabara ya Lami kilomita 1.6 umebadilisha mandhari ya mji wa Namtumbo na kuanza kuvutia.


Lyuma aliwapongeza TARURA Wilaya ya Namtumbo Kwa kusimamia vyema ujenzi wa Barabara hiyo na kuwaomba kutenga fedha katika bajeti ili kuendelea kujenga barabara za Lami katika mji wa Namtumbo.


Kauli Mbiu ya mwenge wa uhuru mwaka huu 2024 ni 'Kutunza Mazingira na kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa Kwa ujenzi wa Taifa endelevu.


Mwenge wa uhuru Wilayani Namtumbo umemaliza mbio zake Kwa kutembelea miradi,kukagua,kuzindua na kuweka mawe ya msingi umbali wa kilomita 170 na kukabidhi Halmashauri ya Songea katika Kijiji Cha Lipaya.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.