• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

RC RUVUMA AWAAGIZA WAKUU WA WILAYA KUJIPANGA KIMKAKATI MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Tarehe ya Kuweka: April 9th, 2024

RC  RUVUMA AWATAKA WAKUU WA WILAYA KUJIPANGA KIMKAKATI MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2024.


Akiongea kwenye kikao Cha awali na wadau mbalimbali katika ukumbi wa Manispaa ya Songea Kanali Ahmed Abbas Ahmed aliwataka wakuu wa Wilaya kujipanga kimkakati kuukimbiza mwenge wa uhuru katika Mkoa wa Ruvuma.


Kanali Ahmed Abbas Ahmed alisema Mwenge wa uhuru ni itifaki ya Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo aliwaagiza wakuu wa Wilaya kujipanga kimkakati ili uwepo wa mheshimiwa Raisi katika Mkoa wetu upewe uzito wa hali ya juu.


Hata hivyo Kanali Abbas alihimiza kuwepo kwa mikakati  ya ushindi itakayoifanya mkoa wa Ruvuma kushinda Kwa kishindo katika mbio za mwaka huu 2024 alisema Kanali Abbas.


Awali Mratibu wa mbio za mwenge wa uhuru Mkoa wa Ruvuma Zuberi Mshamu alisema ukimbizaji wa mwenge wa uhuru unakuwa na sura ya mashindano ambapo mikoa imegawanywa katika Kanda 5 na Mkoa wa Ruvuma upo katika Kanda ya 3 inayojumuisha mikoa Sita ambayo ni Ruvuma ,Singida,Dodoma,Manyara,Kagera na Mara.


Katika mashindano ya mbio za mwenge wa uhuru Kwa mwaka 2023 Mshamu alisema Mkoa wa Ruvuma ulishika nafasi ya 10 (kumi)kitaifa Kwa kupata wastani wa  alama76.27.


Katika kikao hicho waratibu wa mwenge wa uhuru katika Halmashauri 8 za mkoa wa Ruvuma ziliwasilisha taarifa ya Maandalizi ya mapokezi ya mwenge wa uhuru ,  Kwa kuweka wazi  miradi itakayotembelewa na mwenge wa uhuru Kwa mwaka 2024


Mkoa wa Ruvuma utapokea mwenge wa uhuru tarehe 8 mwezi Juni 2024 katika Kijiji Cha Sauti Moja kilichopo Wilaya ya Tunduru kutoka Mkoa wa Mtwara na kuukabidhi mkoa wa Njombe tarehe 16 mwezi Juni 2024 Kijiji Cha Mavanga Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.