• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Siku tano za Matembezi ya hiari Namtumbo

Tarehe ya Kuweka: October 16th, 2023

Siku tano za Matembezi ya hiari  Namtumbo 


Chama Cha Mapinduzi wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma kinafanya matembezi ya hiari ya siku tano yakianzia uwanja wa majimaji Manispaa ya Songea na kumalizikia  katika ofisi ya Chama  Cha  Mapinduzi wilaya ya Namtumbo .


Lengo la matembezi hayo ni kuunga mkono juhudi za Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dkt Samia Suluhu Hassan na kumuenzi baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere .


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Namtumbo Zuberi Lihuwi alisema vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilaya ya Namtumbo wameamua kufanya matembezi ya hiari wakiwa na lengo la  kuunga mkono juhudi za Raisi wa Jamhuri wa  Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan  na kumuenzi mwalimu Julius Kambarage Nyerere .


Lihuwi alidai matembezi hayo yatakuwa ya siku tano kuanzia tarehe 16 mwezi huu  2023 mpaka tarehe 20 mwezi huu wa kumi  2023 ambayo yatachukua muda wa siku tano.


Aidha Kwa Mujibu wa Ratiba ya matembezi hayo siku ya kwanza ya tarehe 16 mwezi huu  yalianzia uwanja wa majimaji na kuishia katika Kijiji Cha Mtakanini wilayani Namtumbo.


Tarehe 17 mwezi huu ikiwa ni siku ya pili ya matembezi hayo yataendelea na safari kupitia katika vijiji vya wilaya ya Namtumbo na kuishia  katika shule ya Sekondari Namabengo.


Hata hivyo matembezi hayo Kwa siku ya Tatu yatatoka Namabengo siku ya tarehe 18 na kwenda kuhitimisha ziara yake katika shule ya msingi Luegu na tarehe 19 matembezi hayo yataishia shule ya Sekondari Kawawa iliyopo katika Kijiji Cha Suruti kata ya Namtumbo .


Matembezi ya hiari ya umoja wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi wilayani Namtumbo yatahitimishwa  tarehe 20 mwezi huu katika ofisi za Chama hicho wilayani Namtumbo  baada ya matembezi hayo  kutoka katika shule ya Sekondari Kawawa iliyopo wilayani humo..

Mwisho.








Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.