• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Taifa Lisilojua historia yake ni sawa na Taifa lililokufa

Tarehe ya Kuweka: February 27th, 2024

TAIFA LISILOJUA HISTORIA YAKE NI SAWA NA TAIFA LILILOKUFA

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile  wakati wa ufunguzi wa maadhimisho ya kuwakumbuka mashujaa 67 walionyongwa na Wajerumani wakati wa Vita vya Majimaji Manispaa ya Songea.

Kapenjama alisema Taifa Lisilokuwa na historia yake ni sawa na Taifa lililokufa huku akiwataka wananchi Kujua historia ya Mashujaa wa Majimaji waliopinga unyanyasaji kutoka kwenye utawala wa Kijerumani na kupigana vita na kupelekea kunyongwa kwao.


Noel Lwoga Mkurugenzi wa Makumbusho Taifa alidai tafsiri ya kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa ilitolewa na Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipo agiza kujengwa Kwa Minara kuwakumbuka babu zetu waliopigania  uhuru katika Nchi hii mjini Mwanza  mwaka 1980

Mwalimu Nyerere akiwa Mwanza tarehe 6 mwezi Juni 1980 alipitisha adhimio la kujenga Kwa Minara kuwaenzi na kuwakumbuka babu zetu waliopigania uhuru wa nchi hii na kupelekea kuwauwa Kwa kupigwa risasi au kunyongwa kwao.

Chifu Zulu Gama(1)Pamoja na kuwakaribisha Machifu wenzake kutoka Nchini Malawi alisema Kwa mujibu wa taratibu za Mila na desturi  za Kingoni kuwakumbuka marehemu ni sehemu ya kuomba matatizo mbalimbali yaweze kutatuliwa katika familia au ukoo.

Benedicto Wakulyamba Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Pamoja na mambo mengine alisema Wizara hiyo kupitia kumbukizi hizo hutumika pia kuibua shughuli za Utalii na kutangaza shughuli za Utalii katika nchi yetu.

Awali akisoma taarifa ya baraza la Makumbusho ,Katibu wa baraza hilo Abbas Mpumule Chitete alisema baraza hilo limejikita katika kuwakumbuka mababu waliopigania uhuru ,Kujikita katika kuhifadhi Mila na desturi Pamoja na uhifadhi wa Mali kale.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Kanali Laban Thomas alimwakilisha Waziri wa Maliasili na Utalii katika Maadhimisho hayo  Pamoja na kumpongea Rais alifafanua dhamira  ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hasan kuanzisha Mazungumzo na Serikali ya Ujerumani ili kurudishiwa Mali kale zilizochukuliwa Nchini ili Watanzania waweze kunufaika na mali kale zao kupitia Utalii wa ndani badala ya Mali kale hizo kuhifadhiwa huko Ujerumani.

Kumbukizi ya kuwaenzi Mashujaa walionyongwa katika vita vya Majimaji Manispaa ya Songea hufanyika Kila mwaka mwezi februali ambapo huambatana na tamasha la kutangaza Utalii, tamasha la kuenzi Mila na desturi na kilele chale ni tarehe 27 mwezi februali Kila mwaka .

Kauli mbiu ya madhimisho hayo ni "Makumbusho ya Majimaji na ukombozi wa bara la Afrika na matumizi ya Rasilimali zake,urithi wetu Kwa maendeleo ya Utalii na Uchumi"

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.