• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Complaints |
    • Gms |
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo
Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu ya Halmashauri
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji/Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi, Maliasili na Utalii
      • Mipango, Uchumi na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Utumishi na Utawala
      • Maji
      • Afya
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
    • Vitengo
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • TASAF
  • Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Fursa za Kilimo
    • Fursa za ufugaji
    • Fursa za Madini
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya Huduma za Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mheshimiwa Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokalika
    • Miradi Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Taarifa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa kwa Umma/Vyombo Mbalimbali vya Habari
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali

Wadau wa maendeleo Namtumbo wataka mfumo wa stakabadhi ghalani uimarishwe

Tarehe ya Kuweka: February 15th, 2024

WADAU WA MAENDELEO NAMTUMBO WATAKA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI UIMARISHWE.



Na Yeremias Ngerangera...Namtumbo.

Wakiongea kwenye kikao Cha ushauri kupendekeza mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo wadau wa maendeleo waliwataka viongozi wa Halmashauri  ya Wilaya ya Namtumbo kuimarisha mfumo wa stakabadhi ghalani.


Ally Lyuma mkazi wa mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo  alisema ipo haja ya uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani Kwa kuwa mfumo huo una manufaa Kwa wakulima wa kipato Cha chini.


Lyuma alifafanua kuwa toka kuanza kutekeleza mfumo huo wa stakabadhi ghalani wakulima wamekuwa na uhakika wa kuuza mazao yao pamoja na kujihakikishia bei nzuri ya mazao yao.


Lukas Sesilius meneja  wa  chama Cha msingi Naikesi  alisema  wakulima wa chama Cha msingi Naikesi wanaishukuru serikali Kwa kuanzisha mfumo wa stakabadhi ghalani Kwa kuwa wakulima hao wanauhakika na soko la mazao yao Pamoja na bei nzuri.


Kassimu Gunda diwani wa kata ya Likuyu alidai wanaolalamikia mfumo wa stakabadhi ghalani kuwa haufai hao sio wakulima ni wafanyabiashara waliozoea Kununua mazao Kwa wakulima kwa bei ya chini na kwenda kuuza kwa bei ya juu.


Gunda alifafanua kuwa wanaolalamikia mfumo haufai ni wale waliokuwa wanunuzi wa mazao ya wakulima na Kwa kuwa mkulima kwa Sasa anauza mazao yake kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani umewanyima fursa  wafanyabiashara   Kununua mazao hayo Kwa bei ya chini kutoka Kwa wakulima alisema Gunda.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Juma Pandu aliwasisitizia  wataalamu kuimarisha mfumo wa stakabadhi ya ghala Kwa kuwa una manufaa Kwa wakulima wa Namtumbo.


Pandu aliagiza kuwepo na mikakati mizito kudhibiti mapungufu katika kukusanya mapato ya Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo .


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo pamoja na mambo mengine aliwaahidi wajumbe wa kikao hicho  kuwa yeye na wataalamu wake watayafanyia kazi maoni na mapendekezo yote yaliyotolewa kwenye kikao hicho.


Mwenyekiti wa kikao hicho alikuwa mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Ngollo Malenya pamoja na kuwashukuru wajumbe kwa michango yao alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri kwa kufunga mfumo wa GOTHOMIS katika Hospitali ya Wilaya Namtumbo ambao unaongeza mapato ya Hospitali hiyo.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO January 18, 2025
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA NAMTUMBO MWAKA 2025 January 12, 2025
  • Ona zote

Habari Mpya

  • DC NGOLLO MALENYA AWAFARIJI WAHANGA WA RADI KATIKA KATA YA LUSEWA WILAYA YA NAMTUMBO

    February 21, 2025
  • WANANCHI NAMTUMBO WAMSHUKURU RAIS SAMIA

    January 06, 2025
  • MATREKTA aliyogawa Rais Samia yawanufaisha wananchi wa Wilaya ya Namtumbo, katika kuongeza Uzalishaji kwenye kilimo cha Kisiasa.

    January 06, 2025
  • Sukrani kwa Mhe.Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan

    January 05, 2025
  • Ona zote

Video

HOTUBA YA WAZIRI WA TAMISEMI
Video

Kurasa za Haraka

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Halmashauri ya Songea
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Nyasa
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru

Tovuti Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • Ikulu ya Tanzania
  • Tume ya Utumishi wa Umma
  • Baraza la Mitihani
  • Tume ya ajira Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo

    Anuani: 2 Barabara ya Boma, S.L.P 55, 57382 NAMTUMBO

    Simu ya Mezani: 0252675008

    Simu ya Mkononi: 0767519181

    Barua Pepe: ded@namtumbodc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Watembeleaji

writingMasterThesis

    • Maswali ya mara kwa mara
    • Sera ya Usiri
    • Kanusho
    • Ramani
    • Huduma

Hakimiliki©2021Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Haki zote Zimehifadhiwa.